• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

“KUKOSA SARE ZA SHULE KISIWE KISINGIZIO CHAKUTOKURIPOTI SHULENI”

Posted on: January 14th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Ayubu Sebabili ameyasema hayo leo akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kata kwa kata ambapo siku ya leo ametembelea kata za Mtindiro, Kwabada na Kwakifua zote zilizopo tarafa ya Muheza.

Akiwa katika ziara hiyo ambayo anaitumia kusikiliza kero za wananchi, suala la changamoto ya wanafunzi kutoripoti shuleni kwakisingizio cha wazazi kukosa fedha zakuwanunulia watoto sare za shule lilijitokeza na kupelekea Mkuu wa Wilaya kutoa kauli hiyo.

“Mwanafunzi kukosa sare za shule kisiwe kisingizio chakutoripoti shuleni katika kipindi hichi ambacho shule zimefunguliwa kuanzia leo, hivyo basi naagiza wanafunzi wote ambao hawana sare hadi sasa wapokelewe bila kuzuiliwa, natoa mwezi mmoja na baada ya hapo mzazi ambae atakua hajatekeleza wajibu wake kwa mtoto wake tutamchukulia hatua” alisema Mhe. Sebabili.

Aidha changamoto mbalimbali zilitolewa na wananchi katika kata hizo ambapo kero za ukosefu wa watumishi wakutosha katika sekta za elimu na afya, majengo chakavu ya shule, maji na miundombinu mibovu ya barabara zimekua kero zilizojitokeza zaidi na huku zikitolewa ufafanuzi na waatalamu wa halmashauri ambao waliambatana na Mkuu wa Wilaya katika ziara hiyo.

Zaidi katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya Mhe. Ayubu Sebabili amewashukuru wananchi kwakushiriki vyema katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, ambapo zoezi zima lilifanyika kwa amani na utulivu mwanzo hadi mwisho bila kua na dosari ya aina yeyote nakuwataka wananchi wanahakikisha amani hiyo wanaitunza kwa nguvu zote.

Tangazo

  • TANGAZO LAKUITWA KWENYE USAILI January 14, 2026
  • TANGAZO LA KAZI January 09, 2026
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • “KUKOSA SARE ZA SHULE KISIWE KISINGIZIO CHAKUTOKURIPOTI SHULENI”

    January 14, 2026
  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • MAFUNZO YA UANDAAJI NA UTEKELEZAJI WA MIPANGO NA BAJETI

    November 21, 2025
  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.